Ngorongoro Heroes yaing'arisha Tanzania

Baadhi ya Wachezaji wa Ngorongoro Heroes katika moja kati ya michezo yao, uwanja wa Taifa DSM

Timu ya Taifa ya soka ya Tanzania kwa vijana wenye umri chini ya miaka 20 Ngorogoro Heroes hii leo imewapa raha watanzania kwa kuifunga timu ya Taifa ya Kenya kwa vijana wenye umri chini ya miaka 20 kwa penalt 4 kwa 3.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS