Mbowe hakukopa fedha kwetu - LAPF.

Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za mikoa na serikali za Mitaa mhe. Hawa Ghasia. Waziri Ghasia alitoa madai kuwa mfuko wa pensheni kwa wafanyakazi wa serikali za mitaa (LAPF) umemkopesha kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, Freeman Mbowe, kiasi cha Sh. Bilioni moja.

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni kwa Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (LAPF) Eliud Sanga amekanusha madai kuwa Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe amekopa kiasi cha Sh. Bill. 1 kwenye mfuko huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS