Mbunge aijia juu serikali muswada wa kodi ya VAT

Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola (mwenye suti) akizungumza bungeni mjini Dodoma.

Mbunge wa jimbo la Mwibara Mhe Kangi Lugola ameitaka serikali kuwasilisha bungeni muswada wa Ongezelo la Thamani (VAT) ili bunge liupitie na kufuta misamaha yote ya kodi inayotolewa ambayo haina tija kwa taifa la Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS