Bebe Cool awatetea wakulima

Bebe Cool

Staa wa muziki nchini Uganda, Bebe Cool ameibuka na kuzungumzia bajeti ya nchi hiyo ya mwaka 2014/2015 ambayo imesomwa hivi karibuni, na kuilaumu serikali ya nchi hiyo kwa kuwawekea wakulima hasa wale wadogo mzigo mzito wa kodi katika pembejeo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS