Kikwete aitaka sekta binafsi kupambana na Ukimwi

Rais Kikwete akikabidhi hundi kwa wawakilishi wa kituo cha kulea watoto yatima cha Moyo wa Huruma kilichoko Geita

Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, ameitaka sekta binafgsi nchini kuongeza mapambano dhidi ya ugonjwa hatari wa ukimwi kwani ugonjwa huo unaathiri nguvu kazi pamoja na kuongeza mzigo wa gharama za uzalishaji wa makampuni husika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS