Ras Six kutumia sanaa kutoka Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Ras Six ambaye anaiongoza bendi maarufu ya walemavu inayoitwa 'Tunaweza Band' anatarajia kuungana na bendi yake kuanzisha mradi uitwao 'Sanaa dhidi ya umaskini'. Read more about Ras Six kutumia sanaa kutoka