Simba yasimamisha wanachama 69

Baadhi ya Mashabiki na wanachama wa Simba wakiangalia moja ya Mechi za timu hiyo

Kamati ya Utendaji ya Klabu ya Simba ya jijini Dar es salaam nchini Tanzania imewasimamisha uanachama wanachama wake 69 waliokwenda Mahakamani kupinga uchaguzi mkuu wa klabu hiyo uliofanyika mwishoni mwa mwezi uliopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS