Simba yasimamisha wanachama 69
Kamati ya Utendaji ya Klabu ya Simba ya jijini Dar es salaam nchini Tanzania imewasimamisha uanachama wanachama wake 69 waliokwenda Mahakamani kupinga uchaguzi mkuu wa klabu hiyo uliofanyika mwishoni mwa mwezi uliopita.

