Wakenya, Waganda na Wazambia kuzipiga Temeke
Chama cha ngumi za ridhaa mkoa wa kimichezo wa Temeke kiko katika maandalizi kabambe ya michuano ya ngumi mkoani humo na kikubwa safari hii mashindano hayo yatanogeshwa na mabondia toka nchi za Kenya, Uganda na Zambia
