JK kuteua majaji wapya 20

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya majaji wa mahakama kuu na mahakama ya rufaa nchini.

Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, ameahidi kuwa katika siku za karibuni, anatarajia kuteua majaji wa mahakama kuu na wa mahakama ya rufaa 20, hatua ambayo amesema inalenga kuharakisha usikilizaji wa kesi na mashauri katika mahakama hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS