Uholanzi yawaandaa vijana wa vijijini kujiajiri

Baadhi ya vijana wakiandaa shamba kwa ajili ya shughuli za kilimo.

Shirika la maendeleo la Uholanzi (SNV) nchini Tanzania leo limezindua mradi unaojulikana kama 'Opportunities For Youth Employment' ambao utawawezesha vijana kujiajiri katika sekta mbalimbali zikiwemo zile za kilimo na gesi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS