Tanzania inakabiliwa na upungufu wa wakunga

Mkurugenzi wa Mtandao wa Utepe Mweupe kwa Uzazi Salama (White Ribbon Alliance for Safe Motherhood), Bi. Rose Mlay.

Tanzania inakabiliwa na upungufu mkubwa wa wahudumu wa fani ya ukunga ambapo takwimu zilizopo zinaonyesha kuwa mkunga mmoja anahudumia takribani akina mama wajawazito mia tano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS