Polisi yawaonya madereva bodaboda

Msemaji wa jeshi la polisi nchini Tanzania, Advera Senso.

Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa tamko la kuanza kwa operesheni maalum nchi nzima ya kuwashurutisha waendesha pikipiki, baiskeli na maguta kuzingatia sheria za barabarani kutokana na kukiuka sheria za barabarani na kusababisha ajali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS