Polisi yawaonya madereva bodaboda
Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa tamko la kuanza kwa operesheni maalum nchi nzima ya kuwashurutisha waendesha pikipiki, baiskeli na maguta kuzingatia sheria za barabarani kutokana na kukiuka sheria za barabarani na kusababisha ajali.

