CECAFA yaialika Azam FC michuano ya Kagame Rwanda

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara Azam FC.

Uongozi wa mabingwa wa soka Tanzania bara Azam FC unataraji kukutana wakati wowote kwaajili ya kujadili mapendekezo ya kocha wao juu ya maandalizi ya timu hiyo pamoja na kupitia majibu ya kocha huyo kuhusu mwaliko wa kushiriki kombe la Kagame

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS