Tanzania ina wagonjwa wengi wa saratani ya kizazi

Waziri wa afya na ustawi wa jamii Dkt Seif Rashid.

Nchi ya Tanzania inaongoza katika nchi za Afrika Mashariki kwa kuwa na wanawake wengi wanaobainika kuwa na saratani ya shingo ya kizazi mara wanapofanyiwa vipimo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS