Vilabu vyafikia maafikiano wachezaji wa kigeni. Rais wa TFF Jamal Malinzi Mkutano kati ya Rais wa TFF Bw Jamal Malinzi na viongozi wa vilabu vya Ligi Kuu, umefikia makubaliano kwamba idadi ya wachezaji wa kigeni wanatakiwa kusajiliwa na vilabu hivyo iwe ni wachezaji watano. Read more about Vilabu vyafikia maafikiano wachezaji wa kigeni.