Kenya kuwakilishwa na vilabu vitatu ngumi Temeke

Mabondia wa ngumi za ridhaa wakichuana katika moja ya michuano ya Temeke.

Chama cha ngumi za riadhaa mkoa wa kimichezo wa Temeke TEABA kimesema moja ya nchi waalikwa katika michuano ya ngumi ya mkoa huo, Kenya wamethibitisha kuleta timu tatu katika michuano inayotaraji kuanza Septemba mwaka huu Temeke jijini Dar es salaam

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS