Jaji mstaafu Damian Lubuva, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania - NEC.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania (NEC) leo imekutana na vyama vya siasa kuzungumzia mchakato wa uchaguzi na maboresho ya daftari la kudumu la wapiga kura.