NEC 'uso kwa uso' na vyama vya siasa

Jaji mstaafu Damian Lubuva, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania - NEC.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania (NEC) leo imekutana na vyama vya siasa kuzungumzia mchakato wa uchaguzi na maboresho ya daftari la kudumu la wapiga kura.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS