Saraha kusepa baada ya kumleta 'Shemeji' Msanii wa muziki nchini Saraha Msanii Saraha wa nchini Sweden-Stockholm mwenye makazi yake nchini Tanzania ameelezea kuwa baada ya kuachia kibao chake kipya alichokibatiza jina 'Shemeji' hivi sasa ana mpango wa kurudi tena nchini Sweden. Read more about Saraha kusepa baada ya kumleta 'Shemeji'