Kocha Marcio Maximo mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwl Nyerere DSM
Kocha mkuu wa Yanga Marcio maximo amesema hana tena tatizo na golikipa wa timu hiyo Juma Kaseja na kwamba tofauti zao za awali zimekwisha na sasa wanatazama mbele.