Saraha kusepa baada ya kumleta 'Shemeji'

Msanii wa muziki nchini Saraha

Msanii Saraha wa nchini Sweden-Stockholm mwenye makazi yake nchini Tanzania ameelezea kuwa baada ya kuachia kibao chake kipya alichokibatiza jina 'Shemeji' hivi sasa ana mpango wa kurudi tena nchini Sweden.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS