Sina tena tatizo na Kaseja - Maximo

Kocha Marcio Maximo mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwl Nyerere DSM

Kocha mkuu wa Yanga Marcio maximo amesema hana tena tatizo na golikipa wa timu hiyo Juma Kaseja na kwamba tofauti zao za awali zimekwisha na sasa wanatazama mbele.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS