Rais Kikwete akiongoza dua ya kumuombea Marehemu Mzee Small muda mfupi kabla ya maziko yake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Kikwete leo amewaongoza mamia ya wakazi wa jiji la DSM katika maziko ya msanii nguli wa maigizo Said Ngamba au Mzee Small.