Mkurugenzi mkuu wa kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC, Dkt Hellen Kijjo-Bisimba.
Kamati ya katiba ya kituo cha sheria na haki za binadamu imezitaka pande zinazopingana katika bunge maalumu la katiba kuridhiana katika vipengele ndani ya rasimu ya pili ya katiba mpya.