Uzembe chanzo cha kutofanikiwa miradi ya maendeleo
Mhadhiri wa chuo kikuu cha Mtakatifu Augustine, Profesa Mwesiga Baregu.
Ukosefu wa uwazi na uwajibikaji miongoni mwa viongozi wa serikali ya Tanzania kumeelezwa kunachangia kwa kiasi kikubwa kutofanikiwa kwa shughuli za Maendeleo ya Jamii nchini.