LHRC yaziasa UKAWA, CCM kuhusu katipa mpya

Mkurugenzi mkuu wa kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC, Dkt Hellen Kijjo-Bisimba.

Kamati ya katiba ya kituo cha sheria na haki za binadamu imezitaka pande zinazopingana katika bunge maalumu la katiba kuridhiana katika vipengele ndani ya rasimu ya pili ya katiba mpya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS