Picha ya ajali ya kuzama kwa meli ya MV Skagit, ajali iliyotokea jirani na kisiwa cha Chumbe Zanzibar Julai 18 mwaka juzi.
Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania (TMA) imewataka watumiaji wa vyombo vya baharini kuchukua tahadhari dhidi ya pepo za kusini ambazo huvuma katika bahari ya Hindi kati ya Juni na Agosti.