Mechi ngumu za kirafiki ndio dawa kwa stars kufuzu

Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania taifa stars kinachotaraji kuingia kambini june 11 mwaka huu.

TFF yashauriwa kuipatia michezo ya kujipima nguvu timu ya taifa stars katika kipindi hiki ikiwa katika maandalizi ya kusaka tiketi ya kucheza fainali za africa AFCON 2015 michuano itakayofanyika nchini Morocco

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS