Mwamunyange awahakikishia amani wakazi wa Nyasa Mkuu wa Majeshi nchini Tanzania, Jenerali Davis Mwamunyange. Mkuu wa Majeshi nchini Tanzania Jenerali Davis Mwamunyange amewataka wananchi waishio pembezoni mwa Ziwa Nyasa kuondoa wasiwasi kutokana na mgogoro wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi. Read more about Mwamunyange awahakikishia amani wakazi wa Nyasa