Mwamunyange awahakikishia amani wakazi wa Nyasa

Mkuu wa Majeshi nchini Tanzania, Jenerali Davis Mwamunyange.

Mkuu wa Majeshi nchini Tanzania Jenerali Davis Mwamunyange amewataka wananchi waishio pembezoni mwa Ziwa Nyasa kuondoa wasiwasi kutokana na mgogoro wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS