TAKUKURU yapendekeza maboresho sheria ya rushwa

Mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini Tanzania - TAKUKURU, Dkt Edward Hosea.

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa imetoa mapendekezo mapya ya kukabiliana na rushwa, ikishauri sheria zirekebishwe kuwabana wenye mali zilizopatikana kinyume cha sheria kushtakiwa na kufilisiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS