Mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini Tanzania - TAKUKURU, Dkt Edward Hosea.
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa imetoa mapendekezo mapya ya kukabiliana na rushwa, ikishauri sheria zirekebishwe kuwabana wenye mali zilizopatikana kinyume cha sheria kushtakiwa na kufilisiwa.