Waganga wanachangia mauaji ya albino - UTSS

Mkurugenzi wa shirika la Under the Same Sun tawi la Tanzania, Bi. Vicky Ntetema, akiwa amekumbatiana na mmoja wa walemavu wa ngozi kuonyesha upendo alioano kwa jamii ya watu hao.

Shirika linalojishughulisha na utetezi wa watu wenye ulemavu wa ngozi la Under the same Sun nchini Tanzania, limeitaka serikali kuzuia mara moja utoaji wa vibali kwa waganga wa kienyeji ambao baadhi yao huchangia mauaji ya watu wenye "albinism"

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS