Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi nchini Tanzania, Bi. Jennister Mhagama.
Wizara ya Elimu an Mafunzo ya Ufundi nchini Tanzania imeendelea kuwahimiza wazazi kupeleka watoto wao katika vyuo vya ufundi stadi kama sehemu ya kukuza uchumi, kuimarisha ujasiriamali na pato la taifa.