'I Do' ya Diana kuachiwa kesho

Msanii wa bongo fleva Diana Nyange

Baada ya kazi ambayo inakwenda kwa jina Mimi na Wewe kutoka kwa Dyna kufanya vizuri katika chati za muziki mbalimbali ndani na nje ya Afrika Mashariki, mwanadada huyu kwa sasa amejipanga vyema kwa ajili ya ujio mpya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS