Kamati ya bunge yakerwa na mgomo wa madereva

Mabasi katika kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo kama yanavyoonekana pichani kufuatia mgomo wa madeereva nchi nzima.

Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya maendeleo ya jamii Saidi Mtanda, amemtaka waziri wa kazi na ajira Gaudensia Kabaka kukutana mara moja na viongozi wa madereva kwa lengo la kumaliza mgomo wa madereva nchi nzima ulioanza leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS