Kamati ya bunge yakerwa na mgomo wa madereva
Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya maendeleo ya jamii Saidi Mtanda, amemtaka waziri wa kazi na ajira Gaudensia Kabaka kukutana mara moja na viongozi wa madereva kwa lengo la kumaliza mgomo wa madereva nchi nzima ulioanza leo.