Stars kuwasili Jumanne baada ya kupokea 3 za Misri

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa stars kinatarajiwa kuwasili nchini kesho (Jumanne) kwa ajili ya kujiandaa na michuano kuiwania kufuzu kucheza fainali za michuano ya Afrika kwa Wachezaji wanaocheza ligi za Ndani CHAN.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS