Nazizi aja TZ kutambulisha 'More Fire'

msanii wa muziki wa nchini Kenya Nazizi

Staa wa muziki kutoka Kenya, Nazizi ambaye kwa sasa yupo hapa Bongo ameieleza eNewz kuwa ujio wake nchini safari hii ni kwa ajili ya kukamilisha na kutangaza albam ya kundi jipya aliyoifanya na More Fire, kukiwa na project za kutanguliza za kuachia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS