Kombe la muungano kikapu lapigwa kalenda.

Mashindano ya mpira wa kikapu ya kombe la Muungano yaliyokuwa yakitarajiwa kufanyika Juni 20 mpaka 28 yamesogezwa mbele ambapo yatafanyika Julai 22 mwaka huu ili kupisha mfungo wa mwezi wa Ramadhani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS