Madaha: Bado nipo Candy 'N' Candy

msanii wa bongofleva nchini Baby Madaha

Baby Madaha, staa wa muziki ambaye ujio wake mpya katika game ni kupitia video mpya ya kolabo aliyofanya na Bella na Dully Sykes inayokwenda kwa jina la Mimi, amefafanua kuwa yeye bado ni 'First Lady' wa lebo ya Candy N Candy ya nchini Kenya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS