Madereva wagoma, Pinda Kuongea na leo mchana
Umoja wa Madereva nchini Tanzania leo wametangaza mgomo wa nchi nzima kwa vyombo vyote vya mto vya usafirishaji kutokana na ukimya dhidi ya madai yao kwa serikali kwa walivyokubaliana katika kikoa cha tarehe 10 April mwaka huu.