Madereva wagoma, Pinda Kuongea na leo mchana

Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Umoja wa Madereva nchini Tanzania leo wametangaza mgomo wa nchi nzima kwa vyombo vyote vya mto vya usafirishaji kutokana na ukimya dhidi ya madai yao kwa serikali kwa walivyokubaliana katika kikoa cha tarehe 10 April mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS