Serikali kupunguza vifo vya wajawazito na watoto
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii nchini Dk. Seif Rashid amesema kuwa tafiti zilizofanywa katika nchi 72 zimeonesha kwamba upatikanaji wa huduma muafaka za ukunga umewezesha kupunguza kiwango cha vifo vya akina mama vinavyotokana na uzazi.