Kansiime kuongoza tuzo za AFRIMMA Star wa vichekesho wa nchini Uganda, Anne Kansiime amechaguliwa kuendesha sherehe za ugawaji tuzo za kubwa za AFRIMMA kwa mwaka huu, tukio ambalo litafanyika Oktoba 10 huko Dallas Texas nchini Marekani. Read more about Kansiime kuongoza tuzo za AFRIMMA