Mzunguko wa pili ligi ya wavu Dar es salaam Mei 9

Mzunguko wa pili wa ligi ya mpira wa wavu mkoa wa Dar es salaam inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei tisa mwaka huu katika viwanja vya shule ya msingi Uhuru wasichana pamoja na uwanja wa ndani wa taifa jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS