Mpambano #MayPac wagonganisha fikra za mastaa
Wakati kukiwa na mabishano makubwa mitaani kuhusu mpambano wa kihistoria wa Ngumi kati ya Manny Pacquiao na Floyd Money Mayweather, limeilazimu Enews kupima joto lake juu ya ni nani anayepatiwa nafasi kubwa ya kushinda katika pambano hilo