Sauti Sol kukamua Marekani

wasanii wa kundi la muziki la Sauti sol nchini Kenya

Kundi la muziki la Sauti Sol kutoka nchini Kenya, limejipanga kwa ajili ya kuanza ziara yao nchini Marekani kwa siku kumi kuanzia leo, ambapo watafanya maonesho zaidi ya matano nchini humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS