Serikali yapunguza vifo vya uzazi Njombe

Mkuu wa wilaya ya Njombe Sarah Dumba akizungumza na wadau wa maendeleo (hawapo pichani)

Wakunga mkoani Njombe wamefanikiwa kupunguza vifo vya akina mama wakati wa kujifungua mwaka jana kutoka 27 mwaka juzi na kufikia 21 ambapo zaidi ya wanawake 23,000 walifika kituoni kujifungua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS