Mashaidi 15 kutoa ushahidi kesi ya Minja

Mwenyekiti wa jumuiya ya wafanyabiashara nchini Johnson Minja akiwa mahakamani

Serikali imeandaa zaidi ya mashahidi 15 kwa ajili ya kutoa ushahidi kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara nchini, Johnson Minja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS