Mzee Juma Kankaa afariki dunia

aliyekuwa muigizaji filamu wa nchini Tanzania marehemu Juma Kankaa

Aliyekuwa msanii mkongwe wa maigizo hapa nchini, Mzee Juma Kankaa amefariki dunia alfajiri ya leo nyumbani kwake huko Tandale baada ya kusumbuliwa na maradhi ya kiharusi na vilevile majeraha ya kugongwa na gari, tukio lililomkuba mapema mwaka jana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS