Mama wa msanii Navio avamiwa

mama mzazi wa msanii wa nchini Uganda Navio, Maggie Kigozi

Mama wa rapa Navio kutoka nchini Uganda, Daktari Maggie Kigozi amelazwa hospitali baada ya tukio la kuvamiwa na kujeruhiwa na majambazi ambao walikuwa wamevamia nyumbani kwake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS