Bunge lapitisha bajeti ya Mwaka 2015/2016

Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum akijibu hoja za Wabunge kuhusu Wizara ya Fedha.

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limepitisha Bajeti ya Serikali ya trilion 22.4 kwa mwaka 2015/2016 iliyowasilisha june 11 na Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum ambayo imefanyiwa marekebisho kadhaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS