Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Peter Pinda akijibu maswali mbalimbali Bungeni.
Serikali imesema kuwa uchaguzi mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania uko palepale na utafanyika wiki ya mwisho wa mwezi wa kumi ambapo dafatri la kudumu la mpiga kura litakua limekamilika.