ZTTA yachagua sita kuunda timu ya Taifa ya Tenisi
Chama cha mpira wa meza Zanzibar ZTTA kimeteua wachezaji wa timu ya Taifa ya visiwani humo itakayoshiriki mashindano ya Taifa yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi June 20 hadi 25 mwaka huu jijini Dar es salaam.