Mwimbaji wa miondoko ya muziki wa injili Christina Shusho
Nyota wa muziki wa miondoko ya injili Christina Shusho ametoa wito kwa wasanii na pia vijana ambao hivi sasa wanajiandaa kwa ajili ya uchaguzi mkuu uanaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 25 nchini Tanzania.