CUF yaunda kamati ya kusimamia kazi za Pro.Lipumba

Kaimu Naibu katibu mkuu wa CUF, Zanzibar Ismail Jussa Ladhu

Baraza kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi CUF, Taifa kwa niaba ya Mkutano Mkuu limeunda kamati ya watu watatu watakaofanya kazi zilizoachwa na aliekua mwenyekiti wa chama hicho Pro. Ibrahimu Lipumba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS