Mtwara ndio muhimili mpya wa Uchumi Tanzania-JK

Rais Dkt.Jakaya Kikwete akiwapungia mkono wananchi wa Msanga Mkuu-Mtwara vijijini waliofika kwenye uzinduzi wa kivuko cha MV Mafanikio

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amewataka wanasiasa mkoani Mtwara kuacha tabia za kuwapotosha wananchi kwa kuwaeleza mambo yasiyo na ukweli, na badala yake wawaeleze juu ya miradi ya maendeleo inayotekelezwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS