DKT. SLAA AACHANA RASMI NA SIASA

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Mendeleo (CHADEMA) Dkt. Willibrod Slaa leo ametangaza kuachana na siasa, na kusema kuwa atabaki kuwa raia wa kawaida akiwatumikia Watanzania katika kile anachokiamini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS