Mbunge viti maalum CUF afariki Dunia Pichani gari aliyopata nayo ajali Mbunge huyo na picha ndogo ni picha ya Mh. Diana Clara Mwatuka Mbunge wa Viti Maalum CUF kutoka mkoani Mtwara Diana Clara Mwatuka amefariki dunia jioni ya leo kwa ajali ya gari. Read more about Mbunge viti maalum CUF afariki Dunia