Waandishi wa habari washauriwa kuzingatia Maadili

Ustadh Jafari Atiki, kutoka katika taasisi ya Darul Hadith Islamic

Viongozi wa dini mkoani Mtwara wamewataka waandishi wa habari kutimiza wajibu wao kwa kuielisha jamii namna ya kuishi na kutenda haki ili kudhibiti vitendo vya kifisadi vinavyofanywa na baadhi ya watu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS