Tufanye kazi tuimbe iyena iyena, CCM nambari 1-JK
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk, Jakaya Kikwete, jana amefungua kikao cha kamati kuu ya halmsahuri kuu ya chama hicho huku akiwataka wajumbe wa kikao hicho kufanya kazi ya kupitia uteuzi wa wagombea wa nafasi za ubunge kwa umakini.