Ashikiliwa na Polisi kwa Mauaji ya kikatili Arusha
Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Liberatus Sabas
Jeshi la polisi mkoa wa Arusha limefanikiwa kumkamatwa mtuhumiwa wa mauaji ya kikatili ya katika hotel ya Am, ambae aliuwawa na baadae viongo vya mwili wake kukatwa..