Kibarua cha Benitez kipo mashakani ndani ya Madrid

Kocha mkuu wa Real Madrid ambaye kibarua chake kipo mashakani Rafael Benitez akiwa anawasili klabuni hapo mwaka jana.

Kibarua cha kocha wa klabu ya Real Madrid Rafael Benitez kipo mashakani kufuatia bodi ya wakurugenzi wa klabu hiyo kufanya mkutano mchana wa hii leo baada ya mechi ya jana dhidi ya Valencia iliyomalizika kwa sare ya bao 2-2.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS