Wasanii TZ katika tuzo za KORA

Tuzo maarufu za muziki za KORA

Rapa Wakazi kutoka hapa Tanzania amepata nafasi kubwa ya kuwania Tuzo za Kimataifa za Kora kwa mwaka 2016 katika kipengele cha Best Hip Hop kupitia rekodi yake ya Dengue Fever akichuana na marapa wakubwa kabisa kutoka nchi mbali mbali Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS