TFF yapongeza waliojitokeza kumpokea Samatta
Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF), limewashukuru watanzania wote, wapenzi, na wadau wa mpira wa miguu Tanzania waliojitokeza usiku saa 8 uwanja wa ndege wa JK Nyerere kumpokea mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza ndani Mbwana Samatta.

