Mbeya City yasaini wawili kati ya watano
Klabu ya Mbeya City imefanikiwa kuwasajili wachezaji wawili mlinzi wa kati Tumba Sued kutoka Coastal Union na Aliyekuwa Mshambuliji wa Toto Africans Abdallah Juma kati ya watano ambao wamepanga kuwaongeza katika usajili huu wa dirisha dogo.