Mitandao ya kijamii inatumiwa vibaya - Mwambene

Serikali ya Tanzania imeziomba nchi za Jumuia ya Maendeleo ya kusini mwa Afrika SADC kuhakikisha zinakuwa na mfumo wa kuangalia matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii ili isiendelee kusababisha madhara katika jamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS