Shinzo Abe amuahidi ushirikiano Dkt. Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kulia akiagana na Balozi wa Japan Nchini Mheshimiwa Masaharu Yoshida

Waziri Mkuu wa Japan Mhe. Shinzo Abe amemtumia salamu za pongezi Rais wa Tanzania kwa kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa awamu ya tano na kumuahidi kuwa Japan itaendelea kushirikiana na Tanzania katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na maendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS