CCM yajiongezea idadi ya wabunge,yanyakua Masasi

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Mji wa Masasi ambaye pia ni Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Masasi Fortunatus Mathew Kagoro.

Chama cha Mapinduzi kimeweza kutetea jimbo lake la Masasi katika uchaguzi ulifanyika jana baada ya kuahirishwa Okt. 25 mwaka huu kutokana na kifo cha aliyekuwa mgombea jimbo hilo kupitia chama cha NLD, Dkt. Emamanuel Makaidi kufariki Dunia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS