CCM yajiongezea idadi ya wabunge,yanyakua Masasi
Chama cha Mapinduzi kimeweza kutetea jimbo lake la Masasi katika uchaguzi ulifanyika jana baada ya kuahirishwa Okt. 25 mwaka huu kutokana na kifo cha aliyekuwa mgombea jimbo hilo kupitia chama cha NLD, Dkt. Emamanuel Makaidi kufariki Dunia.