Baadhi ya Majengo ya Shule ya Msingi Daraja mbili yaliyotketea kwa moto
Baadhi ya vyumba vya madarasa kikiwemo chumba cha kuhifadhia vitabu katika shule ya msingi Daraja mbili iliyoko jijini Arusha vimeteketea kwa moto ambao bado chanzo chake hakijajulikana.